Ben Poul Afunguka Haya Baada Ya Kunyoa Ndevu Zake ( +Audio ) ....!!!

ben poul


Mwanamuziki anaye kimbiza kwenye miondoka ya Rn'B, Ben Poul, amedai kuwa ndevu zake ambazo aliziwekea hina upande mmoja aliamua kuzinyoa kwa kuhofia kuonekana kuwa yeye ni mmoja wa wanamgambo wa makundi ya kigaidi.

Ben Poul ameyazungumza hayo alipo fanya mahojiano ndani ya Friday Night Live, show inayorushwa na East Africa Television nakusikina kupitia East Africa Radio, ambapo amesema deal la kufanya kazi na Wamerekani alipo lipata lilimsababisha anyoe ndevu zake ambazo zilisha kuwa kubwa na kudhani angeonekana mmoja wa washirika wa ugaidi ikiwemo kundi la Al Qaeda.

Mara ya Mwisho Ben Pol alipo hudhuria kwenye show ya Friday Night Live alifunguka kuwa ameamua kuwekea ndevu zake hina kwakuwa hana wazo la kusuka wala kujichora tattoo hivyo kwake itakuwa nikama kitambulisho chake. Ila kwa sasa ameamua kuzibadilisha na kuwa kawaida.


Source:   tubongetz
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment