Ommy Dimpoz Atangaza Kuachia Video Mpya "Achia Body"


Staa wa bongo fleva Ommy Dimpoz ameongelea video yake mpya nakusema wimbo wa Achia Body haukuwa kwenye foleni ya kutoka ila baada ya kuikubali video aliamua kuitoa.
“Wimbo wa Achia body haukuwa kwenye foleni ya kutoka ila nilitambulishwa kwa director mchanga nchini Afrika Kusini na nilivyofanya naye video ilikuwa powa na nikaikubali ndio maana sikuona sababu ya kuibania, hata wasanii wenzetu wanatoa kila video wanayofanya”.
Ommy amethibitisha ujio wa nyimbo nyingi zaidi mwaka huu.
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment